Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. kaaaaaaaaazi kwei kwei.

    ReplyDelete
  2. WAZ UP WITH THE DANCE?. DAH SIKUJUA ALI K ANA KIIBOOOTEY. IM IN LOOOVE ALL OVER AGAIN.

    ReplyDelete
  3. Kama ujajenga hata nyumba ya makuti adi sasa , utakuwa chizi!!

    ReplyDelete
  4. upuuzi gani huu sasa

    ReplyDelete
  5. At anonymous (Tue Nov 23, 11:14:00 AM) Kama ana nyumba ya kulisi???

    ReplyDelete
  6. kwani huko bongo hakuna madarasa ya kedance? au makundi ambayo kazi ya ni kudance ili kuchamsha shoo zake. Nfikiri ingekuwa bora zaidi kama angeiga kwa usher raymand, chriss brown, omario, marcus houston na wengineo wengi. Sauti nziri kila kitu safi lakina dancing na mavazi aibu. Mavazi yaendane na shughuli yenyewe

    ReplyDelete
  7. Nyumba ya kulisi ndiyo nini?! hata shule ya chini ya mwembe hawaandiki ushuzi huo, ni nyumba ya KURITHI.

    ReplyDelete
  8. Ali ,tafuta wacheza shoo,wakusaudie kucheza kwenye shoo zako,unasauti nzuri,lakini uimbe wimbo wenye ujumbe mzuri usikurupuke tu,halafu katika kuvaa angalia sehemu zipi naweza kuonyesha chupi,kwenye shoo hio ulitakiwa uvae suti,ushaanza kukubalika sasa kama muimbaji,lakini kuna mambo inabidi ujifunze.

    ReplyDelete
  9. Kama nyumba ya kulisi basi alipe inheritance tax mweeee

    Chako chako ndugu yangu mambo ya nyumba ya baba ni zilipendwa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...