Globu ya Jamii inapenda kutoa salamu za sikukuu ya Eid kwa waislam woote ambao wanaungana leo Duniani kote kuadhimisha ibada ya sikukuu ya Eid Ul Adhaa (Idd Kubwa) ambapo ndani ya sikukuu hii imehalalishwa kuchinja,hivyo kwa wale wenye uwezo huo sina budi kuwakumbusha jukumu hilo Inshaallah.

-Michuzi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Heri katika kuiadhimisha sikukuu ya Eid Ul Adhaa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...