Meneja wa Kilaji cha Grand Malt,Consolata Adam (shoto) akimkabindi mmoja wa wawakilishi wa Vyuo vya Elimu ya Juu zawadi ya box la Grand Malt.
Meneja wa Kilaji cha Grand Malt,Consolata Adam akipongezana na Mratibu wa Bonaza hilo la wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu,Innocent Melleck mara baada zoezi la ugawaji zawadi kwa wanavyuo hao katika Bonanza lililofanyika leo ndani ya Viwanja vya TCC Club,Chang'ombe jijini Dar.




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...