Jaji Frederick Werema akila kiapo mbele ya JK mara baada ya kuteuliwa kuwa Mwanasheria mkuu wa Serikali leo.Sherehe za kuapishwa kwa jaji Werema zilifanyika ikulu jijini Dar es Salaam leo jioni.
JK akimkabidhi miongozo ya Kazi Mwanasheria Mkuu wa Serikali Jaji Frederick Werema wakati wa hafla ya kumuapisha iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam leo mchana.Picha na Freddy Maro.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. He`s a very good person man!kiukweli jamaa anastahili.

    ZAUNUNU-AMSTERDAM

    ReplyDelete
  2. John Mwanyika aliishia vipi nahii nafasi?

    ReplyDelete
  3. http://www.youtube.com/watch?v=Jk_huBe26Ms&feature=related

    ReplyDelete
  4. nampa hongera sana once again uncle wangu to be attorney general anastahili Judge Werema. Mwanyika alistaafu umri!
    ITULE PETER.

    ReplyDelete
  5. Cool! Je uteuzi wa baraza la mawaziri utakuaje? JK amejifunza lolote kuhusu aina ya watu wananchi isyowataka(katika baraza lake liliopita si chini ya mawaziri 10 walibwagwa na manaibu waziri sijui wangapi)?Naomba wanablogi tucheze kamchezo kama wewe ungekuwa rais sasa hivi na wabunge wa CCM jinsi walivyo au amabao ungeweza kuwateua kuwa wabunge ungemteua nani na kwanini na baraza lako lingekuwa na watu wangapi?
    Naomba nitangulie kujibu swali hilo la kufikirika:

    1.Kiyenze Mizengo Peter Pinda (lakini nina wasiwasi kama JK atamteua maana alikuwa kimya mno wakati wa kampeni za uchaguzi uliyopita). Sababu: Kichwa, mzalendo, mchapa kazi

    2.Mark Mwandosya.Sababu:hizo hizo hapo juu.

    3.John Pombe Magufuli. Sababu: hizo hizo

    3.David Mwakyusa.Sababu:Kichwa, Mchapa kazi

    4.Jumanne Maghembe. Sababu: Kichwa, mchapa kazi

    5.Stella Manayanya. Sababu: kichwa, mzalendo.

    6. Vichwa vingine 2 vyenye kuchapa kazi

    7.Manaibu wasiozidi watatu kila wizara. Wizara ziwe chache na ziunganishwe kila inapowezekana- kwa mfano, Usalama wa Raia na Mambo ya Ndani ziwe wizara moja, Elimu na Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia ziwe wizara moja na kadhalika- ili tubane matumizi.

    Je wanablogi mnasemaje mngekuwa nyie mnafanya uteuzi?

    ReplyDelete
  6. ccm wametulia safi naimani na jk anacheka ila kajipanga nitaweza kumfurahia akiweza kumpa meno makufuli asafishe nchi na chama.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...