Marehemu Watson Muhando

Familia ya Muhando wa mwananyamala inapenda kutoa shukrani kwa ndungu,jamaa na marafiki wote mliotukimbilia wakati wa kumuuguza mpendwa wetu Watson Muhando na wakati wote wa msiba/mazishi.
Tumefarijika sana kwa upendo wenu na ushirikiano mliotuonyesha. Tunawaombea kwa Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki.
Tunawakaribisha kwenye misa ya shukrani kesho Ijumaa saa kumi na nusu (4:30pm) katika kanisa la Kristo Mfalme Mwananyamala kisha baadae kwenye mkesha nyumbani kwa mzee Phineas Muhando Mwananyala A.
Bwana alitoa na Bwana alitwaa jina lake lihimidiwe.
- Amen.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Lala Salama baba yetu mpenzi. Tulikupenda lakini Mungu amekupenda zaidi, jina lake lihimidiwe.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...