Katibu Mkuu Mstaafu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Bibi. Mariam J. Mwaffisi akipokea Ngao kutoka kwa Mwakilishi wa Wawatumishi wa Kanda ya Magharibi Bw. Anderson, ikiwa ni Zawadi ya Kumpongeza kwa Kustaafu Utumishi wa Umma. Hafla hii ilifanyika wakati wa Mkutano Mkuu wa Sekta ya Maendeleo ya Jamii, Morogoro wiki hii.Picha na mdau Asteria Muhozya
--

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. safi sana mama mwafisi. mtu ukifikia wakati wa kustaafu inatakiwa ufanye hivyo. siyo kung'ang'ania madaraka na kuzuia vijana kutumikia taifa. viongozi na watumishi wengine serikalini igeni mfano wa maza,
    hongera sana na pensheni njema

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...