
Mtendaji Mkuu wa SBL Bw. Richard Wells amesema SBL itahakikisha timu zote zinapewa huduma zote muhimu wakati zitakapokuwa hapa nchini kwa ajili ya mashindano ikiwa ni pamoja na Chakul, Mlazi na Usafiri wa ndege na itatoza zwadi kjwa washindi zinazofikia dola za Kimarekani elfu 60.000 ikiwa ni sehemu ya udhamini ambao ni dola za kimarekani laki 450.000 ambapo mshindi wa kwanza atajipatia dola 30.000, mshindi wa pili dola 20.000 huku mshindi wa tatu akijinyakulia dola 10.000. Kampuni ya Serengeti Breweriers ndiyo mdhamini mkuu wa mashindano ya Tusker Chalengfe Cup 2010 kwa mwaka huu.

CECAFA NA SIO SECAFA
ReplyDeleteAliyeandika SECAFA atakuwa na elimu ya darasa la saba tu
ReplyDelete