Home
Unlabelled
Mh. Sugu ala kiapo bungeni
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kuna station flani ya redio hapa dar watakuwa wamefunga ngenga zao kwa sasa. Safi sana SUGU.
ReplyDeleteM.A-Kafanabo
Sio anne makinda, ni anna makinda full stop sijui hiyo anne mmeiibua wapi na ghafla hata kama ni kiiglish, miaka yoooooooooote tunamjua anakwenda kwa jina la anna !!
ReplyDeleteJOB DONE SUGU,MUDA AUTOSHI MBIO NDEFU NOTHING IMPOSSIBLE.CONGRATULATION YOUNG MAN UMEWEZA NA UMEONYESHA INAWEZEKENA KUWAKILISHA BILA KUTEGEMEA MGONGO WA MTU INAWEZEKANA.GOD BLESSXXXXXXXX!
ReplyDeleteWahenga walisema mwombee mbaya wako maisha mema ili apate kuyaona mafanikio yako. Hilo ni jibu tosha kwa akuombeaye mabaya
ReplyDeleteHata mimi nilikuwa nashangaa hiyo Anne imetokea wapi tena
ReplyDeleteSaaaafi sana, Mh. Sugu! Hakika penye nia pana njia. Ni kula kwa kwenda mbele mjengoni. 'Dudu baya' na wenzake bila shaka mmeona mfano!
ReplyDeletePoa Mh. Mbilinyi! Si kama kina 'Mh. Temba'na wnzaker mliozunguka kuipigia kampeni CCM. Kipindi cha uchaguzi kimeisha, kijua chawawakia! Mwenzenu 'Sugu' anpoa mjengoni....
ReplyDeleteSugu umeni-impress WELL DONE nakutakia kila la-kheri
ReplyDeleteHongera Mh. Sugu. Hadi tunakusoma kwa Michuzi Blog sasa. Michuzi kuwa honest. Wakati wa kampeni uliweka picha ngapi za Mr Sugu? Leo amepata ubunge na hata bunge halijaanza lakini tayari picha kibao za Mr Sugu. Bania lakini ujumbe umefika.
ReplyDeletePamoja na kushughulikia maslahi ya wana Mbeya mjini...Mheshimiwa Sugu tunaomba wezi wa kazi za wasanii nao wapatiwe ufumbuzi...najua huwezi kufanikisha hilo peke yako Mheshimiwa Sugu ila kwa sasa huko kwenye nafasi nzuri zaidi ya ku-lobby ili ufanyike mpango madhubuti wa kulinda maslahi ya wasanii...wakiwemo wale njaa waliovaa t-shirt za CCM!Najua kaka "Mchuzi" huwezi kubania hii...
ReplyDeleteAti akawatetee kazi za wasanii wakati mlimshiti wakati wa kampeni, mmeonyesha jinsi mlivyo roho za kwa nini imekula kwenu, mwenzenu mjengoni gari ufll kipupwe ruzuku aah mwenzenu anapeta, nyie ndo mtakoma mtaburuzwa na kazi zenu na mtaendelea kuzulumiwa kwa ajili ya ulimbukeni wenu, sugu wapotezee laivu hadi waje wainame wakulambe mikuu mbele ya waandishi wa habari tena wala ya magazeti ya udaku!
ReplyDeletemshahara= 12,000,000/=
ReplyDeletekila kikao=200,000/=
pesa ya kujikimu kwa mwezi=2,400,000/=
Mungu akupe nini Sugu waache waseme mpaka mate yawakauke.
mdau kafanabo wa kwanza kutoa komenti lakini wewe si ndie ulimtukana humu kwenye michuzi alipoenda kuchukua form za kugombea ubunge tena ukajidai wewe ni mjomba wake na matusi tele leo unaleta upambe nuksi eeeh.au unafikiri tumesahau?usibanie hii michu
ReplyDeleteNinyi mnao sema siyo Anne Makinda, mnachemsha, hata website ya bunge inasema ni Anne Makinda, msimlaum Michuzi.
ReplyDeleteChaki hapa:
http://www.parliament.go.tz/bunge/index.php
Ephraim Kibonde! unalo hilo limekuganda! utajibeba!
ReplyDelete