 Muanzilishi wa mtandao Mobile Monday (MoMo) unaojihusisha na maswala ya kukutanisha wataalam wa mambo ya habari na teknolojia ya mawasiliano (ICT) Duniani,Jari Tammisto akizungumza katika uzinduzi wa mtandao huo kwa hapa nchini uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia,Kijitonyama jijini Dar.
Muanzilishi wa mtandao Mobile Monday (MoMo) unaojihusisha na maswala ya kukutanisha wataalam wa mambo ya habari na teknolojia ya mawasiliano (ICT) Duniani,Jari Tammisto akizungumza katika uzinduzi wa mtandao huo kwa hapa nchini uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia,Kijitonyama jijini Dar. Mmoja wa waanzilishi wasimamizi wa mtandao wa Mobile Monday (MoMo) kwa hapa nchini,Kaye Billy akiweka sawa taratibu za shughuli nzima ya uzinduzi wa mtandao huo hapa nchini iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia,Kijitonyama jijini Dar.
Mmoja wa waanzilishi wasimamizi wa mtandao wa Mobile Monday (MoMo) kwa hapa nchini,Kaye Billy akiweka sawa taratibu za shughuli nzima ya uzinduzi wa mtandao huo hapa nchini iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia,Kijitonyama jijini Dar. Da' Amina Lukanza wa Mobile Monday (MoMo) akionyesha utaratibu mzima wa mtandao kwa mwaka mzima kwa baadhi ya wataalam waliofika katika uzinduzi huo.
Da' Amina Lukanza wa Mobile Monday (MoMo) akionyesha utaratibu mzima wa mtandao kwa mwaka mzima kwa baadhi ya wataalam waliofika katika uzinduzi huo. Baadhi ya wataalam na wadau wa mambo ya habari na teknolojia ya mawasiliano (ICT) waliofika watika uzinduzi huo wakifuatilia kwa makini yaliyokuwa yakiendelea katika uzinduzi huo.
Baadhi ya wataalam na wadau wa mambo ya habari na teknolojia ya mawasiliano (ICT) waliofika watika uzinduzi huo wakifuatilia kwa makini yaliyokuwa yakiendelea katika uzinduzi huo. Wadau woote wa habari na teknolojia ya mawasiliano (ICT) waliofika katika uzinduzi wa mtandao wa Mobile Monday walipata nafasi ya kupata picha ya pamoja kabla ya kuondoka ukumbini hapo.
Wadau woote wa habari na teknolojia ya mawasiliano (ICT) waliofika katika uzinduzi wa mtandao wa Mobile Monday walipata nafasi ya kupata picha ya pamoja kabla ya kuondoka ukumbini hapo.kuona ni mambo yao.


 
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...