Mh. John Magale Shibuda (pichani) na Silvester Kasurumbai wametangazwa rasmi na wasimamizi wa uchaguzi kuwa wabunge wa maswa magharibi na mashariki kwa tiketi ya CHADEMA baada ya kushinda kwa kura nyingi katika uchaguzi mkuu. Shibuda kakomba kura 17,456 Maswa Magharibi wakati Kasurumbai kazoa kura 17,075

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. leta na nyamagana kwi kwi kwiiiiiiiiiii............

    ReplyDelete
  2. leta na nyamagana kwi kwi kwiiiiiiiiiii............

    ReplyDelete
  3. Na Badoooooo!! tunakuja pole pole kama hatutaki tutaonana 2015!

    ReplyDelete
  4. Hongera sana Shibuda. Wewe ni Mwanasiasa wa ukweli na unawapenda sana Wananchi wa Maswa.
    shibuda na Maswa, Maswa na shibuda.

    ReplyDelete
  5. Ameahidi kujenga barabara zote jimboni mwake ndani ya miaka mitatu. Tuone kama atatekeleza ahadi hiyo ya danganya toto.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...