Tunahaja kubwa ya kusisitiza kwa bendi zetu za mziki wa dansi,Taarabu na vikundi vingine kujitangaza kwa kutumia picha maalumu.
Bendi ya INAFRIKA Band aka "Wazee wa Indege" ni mfano mzuri sana wa kuigwa bendi hiyo ambayo ipo ziarani Australia na Newzeland.
ni moja ya bendi chache sana zinajitangaza pia kwa kutumia picha...,kama watalaamu wana sekolojia wanavyodai kuwa picha inaongea lugha 70! na ni silaha muhimu sana ya kujitangaza,kwa bendi zetu ambazo hazijapiga picha maalumu kwa ajili ya kujitangaza,wakati ndio huu.
kwani wachina wana usemi usemao "Wakati mzuri wa kupanda matunda ni miaka 20 iliyopita" kama ulichelewa basi "Wakati mwingine mzuri ni panda sasa" Usemi huo una maana zaidi kuliko huu wa kiswahili heti "Alie lala usimwamshe! kama atukuhamshana sisi tutalala njaa.
wasikilize hapa
www.myspace.com/inafrikaband
Bendi ya INAFRIKA Band aka "Wazee wa Indege" ni mfano mzuri sana wa kuigwa bendi hiyo ambayo ipo ziarani Australia na Newzeland.
ni moja ya bendi chache sana zinajitangaza pia kwa kutumia picha...,kama watalaamu wana sekolojia wanavyodai kuwa picha inaongea lugha 70! na ni silaha muhimu sana ya kujitangaza,kwa bendi zetu ambazo hazijapiga picha maalumu kwa ajili ya kujitangaza,wakati ndio huu.
kwani wachina wana usemi usemao "Wakati mzuri wa kupanda matunda ni miaka 20 iliyopita" kama ulichelewa basi "Wakati mwingine mzuri ni panda sasa" Usemi huo una maana zaidi kuliko huu wa kiswahili heti "Alie lala usimwamshe! kama atukuhamshana sisi tutalala njaa.
wasikilize hapa
www.myspace.com/inafrikaband
Kaka mtoa mada, wazo lako ni bomba na naamini washika dau wa duru ya sanaa watakupa shavu na kufanyia kazi maoni yako.
ReplyDeleteSi vibaya kukumbushana kuwa, next time tumia spelling check unapoandika mistari miwili mitatu ili kupunguza makosa ya baadhi ya maneno, umechapia kiswahili ile mbaya.