Assalam Aleykum ankal.
Muandishi wa habari huyu alikuwa ni miongoni mwa waandishi wa TV isiyojulikana kutoka nje ya Zanzibar ambae alikuwa miongoni watu waliofika Michenzani kusherekea kuapishwa kwa Raisi Ali Mohamed Shein.
Vijana wakiwa katika buti la gari ndogo ili kusherehekea ushindi wa Dr Shein pamoja na kuteuliwa kwa Maalim Seif kuwa Makamu wa Rais. Picha na Mdau wa Zanzibar Car Hire Limited.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. uncle hiyo ni AK47 au ni kamera? imekaa kama mtutu!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...