Waziri wa Mambo ya Nje wa Zambia Mh.Kabinga Jacus Pande (wa tatu toka kulia) akiwa na waangalizi wa uchaguzi toka nchi za SADC pamoja na balozi wa DR Congo nchini ambaye pia ndiye mkuu wa mabalozi Tanzania Mh. Alfani Mpango (wa pili kulia) na afisa wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Tanzania (kati) walipokuwa kijijini Msoga huko Chalinze, mkoa wa Pwani, ambako JK alipiga kura yake. Wasimamizi wa nje wameridhika na jinsi uendeshaji wa zoezi la kupiga kura lilivyoendeshwa na kusema ukiondoa matatizo madogo madogo uchaguzi ulikuwa huru na wa haki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. cheza fair play kaka michu tunasikia ccm imeanguka ubungo,mimi kwetu sinza nina hamu sana ya kujua hili,

    mdau UK

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...