Home
Unlabelled
ankal mnusoni...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
ulisahau pilipili, fisi unapata mbili
ReplyDeleteKaka mambo yako makubwa mpaka umekuwa kijana zaidi kweli suti za kuazima nzuri.
ReplyDeleteHahahahahaha you are one of the kind,bro.
ReplyDeleteMzee michuzi acha uoga na kutojiamini,suti unazo na hauzuiwi kuvaaa unaboa unapozungusha maneno. Wakati wa kampeni ulizunguka nchi nzima na mtoto wa mkuu! Kwa nini ukose suti?
ReplyDeleteMy wife wako yuko wapi? Unaendaje kwenye mnuso bila my wife wako bwana?
ReplyDeletetuwekee ile ya wewe na wifi tafadhali hapa ndo mahali pake sio kuleeeee!
ReplyDeleteMY BRODA AND ZE ONLY 1. MUHIDINI ISSA MICHUZI OF ECONOMY SCHOOL OF MUZUMBE OF MULOGOLO. I CANGRATULATEZ YOU 4REAL FOR ZE WHITES SUTI OF MATUMBI YOU IS THE INVESTMENT OF TANZANIA BLOGS AND MEDIA OF AFRICA, AND WE LOVE THIS EXAMPLE OF YOU. I SEE JK IS WEAR A SUIT LIKE ZIS BEFORE WE COMES TO THE USA AND UK. SO WE LOVE, AND CONTRATULATES OF KRISMAS OF ALL ZE PEOPLE IN TANZANIA AND HAPPIZ NYEW YEAR
ReplyDelete..jamani Michuzi najua uko Single kama mimi.
ReplyDeletePleease.. naomba contact zako.
Julieth.
kaka usitake kutuangusha bwana. suti ni zako bwana tena ni zile zilizo toka china juzi lakini cha ajabu wachina hapo walijaribu kuboresha saaana suti hizo. tena ziko poa sana. na hasikutishe mtu. kama vip waache wajigonge wao wenyewe.
ReplyDeletehongera sana kwa kujitoa mwenyewe na kujiwekea kasoro. sisi tunapenda sana. ila umependeza sana.
ANKAL MICHUZI, NAKUPA HONGERA NIMEKUONA KWANYE BLOG NYINGINE (NAFICHA JINA) UMEPIGA NA MKEO HAPO HAPO. DUH ACHA ANKAL HONGERA SAANA.
ReplyDeleteMbona umejiweka mwenyewe, ubavu wako uko wapi, Aisee una mwanamke mzuri sana lakini wanaume wa kibongo msinyo na shukurani usishangae una nyumba ndogo Michuzi,Loooh!
ReplyDeleteAnkal michuzi aise MKE WAKO KUMBE NI MZURI VILE JAMANI?..MASHALLAHHHHHHHHHHH...DUH..AISE HONGERA NIMEMUONA MKEO KWENYE MITANDAO MINGINE JAPO HAPA UNATUBANIA ILA SIO MCHEZO DUH...PALE UMECHAGUA HONGERA SANA KAKA..TENA HONGERA SANAAAAAAAA...KWANINI WAMFICHA FICHA JAMANI HEBU WEKA PICHA YAKE UTUKATE VILOMO LOL..
ReplyDeleteUngepiga na kilemba cha ze fulana hapo ungetoka kimatumbi. oh!! kumbe unaazima mi niazime ze fulana tu.
ReplyDeletemke wa uncle na ndio first lady wa globu ya jamii ni huyu hapa http://letempya.blogspot.com/
ReplyDeletehahhaaa Ankal umetisha, umetoka bomba nakuamini hujitupi samtaimu.
ReplyDeleteKazi njema mkuu.
ah ankal umetoka chicha... mie moyo wangu weeeeeeee.... lakini ankal, si wanne wanaruhusiwa? shekhe tumeambiwa thalatha, arba... eeeh nadhani wanipata. Tuwasiliane (wink)
ReplyDelete