Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. za leo nduguzaguni,sasa ili tuendelee na tuzidi kufanya vizuri lazima tusahihishane,tukosoane na pengine tusifiane...ni kitu kizuri kwamba ali kiba anakuja tena reading,berkshire.sasa mara zote alizokuja amekua akija late sana yaani anakuja saa tisa na show inaisha saa kumi.kufanya burudani iendane na kiingilio mlangoni tunaomba mjaribu kuliangalia hilo,huo ndo mchango wangu na niweke wazi kwamba ninania njema na bongo desjays.big up peter na richie
    mdau reading

    ReplyDelete
  2. Tatizo sio msanii anapanga kuja saa tisa bali waandaaji ndio wanamchelewesha ili watu wazidi kuingia ukumbuni kuna wale wengine wanaamua kutoka dakika za mwisho ili nao waje kuona show pengine baada ya kupitia sehemu kadhaa za starehe au ktk sherehe.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...