MAREHEMU SARA MAKAME HAJI

FAMILIA YA JULIUS NA FAITH KATANGA YA WASHINGTON DC, INAWAKARIBISHA MARAFIKI NA WATANZANIA WOTE KWA UJUMLA KATIKA IBADA YA KUMBUKUMBU YA MDOGO WAO MAREHEMU SARA MAKAME HAJI ALIYEFARIKI DESEMBA 23,2010.IBADA HIYO ITAFANYIKA KATIKA KANISA LA CATHEDRAL OF PRAISE SAA 8:30 (2:30PM).TAFADHARI TUZINGATIE MUDA.

ANUANI
10110 GREENBELT ROAD
LANHAM,MD 20706

KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NA

JULIUS KATANGA 202 580 4648
MARCO MBULU 571 426 7124
TINO MALINDA 240 338 4917

WOTE MNAKARIBISHWA
BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LITUKUZWE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Poleni kwa msiba.

    Majina na tikio mchakachuo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...