Jumuiya ya wanafunzi wakitanzania wanaosoma nchini Algeria (ATSA) wanatoa salaam za pongezi kwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Jakaya Kikwete kwa ushindi mkubwa alioupata katika matokeo ya uchaguzi mkuu uliopita, hiyo inaonyesha jinsi gani watanzania walivyo na imani nae kubwa kutokana na ufanisi na mafanikio ya kiutendaji ya ilani ya CCM ya 2005.
Tunatarajia mafanikio makubwa zaidi hususan katika Nyanja ya elimu kwa kipindi cha pili cha uongozi wake.
Pia uongozi wa ATSA unampongeza Mh. Jakaya Kikwete kwa uteuzi wake wa baraza la mawaziri kwakujali vigezo vyao kwa mfano kumpa wizara ya elimu na ufundi Dr. Kawambwa pia kumrudisha Mh. Membe katika wizara ya mambo ya nje ni ishara tosha kuwa nimchapakazi hodari na anayajua majukumu yake katika wizara hiyo na si vibaya akawa mrithi wake 2015.
Mawsiano.
Rais wa jumuia ya wanafunzi (ATSA):
HABIBU H.RUHOMBO
(+213551713920)
Tunatarajia mafanikio makubwa zaidi hususan katika Nyanja ya elimu kwa kipindi cha pili cha uongozi wake.
Pia uongozi wa ATSA unampongeza Mh. Jakaya Kikwete kwa uteuzi wake wa baraza la mawaziri kwakujali vigezo vyao kwa mfano kumpa wizara ya elimu na ufundi Dr. Kawambwa pia kumrudisha Mh. Membe katika wizara ya mambo ya nje ni ishara tosha kuwa nimchapakazi hodari na anayajua majukumu yake katika wizara hiyo na si vibaya akawa mrithi wake 2015.
Mawsiano.
Rais wa jumuia ya wanafunzi (ATSA):
HABIBU H.RUHOMBO
(+213551713920)
Habari haijatulia. Inabidi kusoma mara mbili mbili kuelewa.
ReplyDeletehamna jipya, baraza la mawaziri limeshatajwa.
ReplyDeleteNakuunga mkono (hata mguu pia) mchangiaji wa kwanza. Halijakaa sawa hilo tamko. Huu unaitwa 'ukombi'!
ReplyDeleteNaunga mkono pongezi zaidi kwa Mh.JK
ReplyDeletekwa uteuzi wake!
imekaa njema!liazungumziwa baraza baada ya kutajwa je mkombi ulitaka lizungumziwe baraza kabla ya kutangazwa!
ReplyDelete