
Marehemu ELINKAILA LUTHER GELLEGE
Leo mama umetimiza miaka Ishirini na tano (25yrs) tangu ulivyotutoka tukiwa bado tunakuhitaji sana. Pengo uliloliacha halitazibika kamwe, daima tukumbuka Upendo wako,Hekima zako,na Busara zako. Unakumbukwa daima na watoto wako Temi,Sarah,Winston,Martin,Elipendo,Hertha na Salome,pia unakumbukwa na watoto wa wadogo zako,wajukuu na vitukuu zako,ndugu jamaa na marafiki.
BWANA ALITOA NA BWANA ALITWAA JINA LA BWANA LIBARIKIWE!!!!
R.I.P
ReplyDeleteBibi yangu jamani dah, yaani kama nakuona vile bibi sitasahau upendo wako kwan kipindi chote nilichobahatika kukaa na wewe pale kiomboi kisiriri nakumbuka ulinifundisha mambo mengi na haswa katika swala zima la kumcha na kumtegemea Mungu kwa kila jambo. Mungu ailaze roho yako mahali pema peponi. Amina
ReplyDeleteMazila