Home
Unlabelled
maafisa wa habari watembelea daraja la Mungu wilayani Rungwe
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Jamani watu tuwe tunafikiria kabla ya kuandika. Aliyepost hii habari anasema "Daraja la Mungu ambapo maji ya mto huo yanapita chini". Naomba ndugu wa blog mnisaidie, kwani mimi sijawahi kuona daraja ambalo maji yanapita juu yake.
ReplyDeletelipo daraja ambalo maji yapo juu,nadhani lipo Ujerumani
ReplyDeleteYou never know may be.
ReplyDeletedaraja ambalo maji yanapita juu lipo hapa udachini nchini uholanzi daraja lipo chini ya bahari watu wanapita humo na magari na juu meli zinaendelea na safari kama kawaida.
ReplyDeletemdau wa mahakama kuu ya dunia.
mm nadhani limeitwa daraja la mungu in the sense kwamba halikujengwa na mtu. naona kama ni mawe tu naturally yametokea kuwa juu na mto kupita katikati yake!!!
ReplyDeleteMother nature in effect.The river cultivate the rock to form that bridge.In other word you can say it's just erosion.The soft(bottom) part of the rock was eroded away by the river.
ReplyDeleteMADARAJA YA MAJI KUPITA JUU YAPO na yanaitwa aqueduct. Anony wa juu anashangangaa wakati hivi vitu vipo , uwe unafanya utafiti kabla ya kuongea. Hebu bandika huyo link uone; http://www.truegiantsnorthwales.co.uk/aqueduct/
ReplyDeleteWandugu lazima tumshukuru michuzi kwa hizi picha.Si wengi wamefika hapo, mimi nimefika na nimeona maajabu hayo.
ReplyDeleteSehemu hiyo ya mto ina maajabu mengi sana.Juu(ustream) ya daraja la Mungu kuna maanguko yaendayo kasi sana kiasi cha kutendeneza "the bernoulli effect".
Kila aliyejaribu kuvuka hapo alivutwa na upepo na kutumbukia mtoni.
Juu zaidi ya mto huo kuna "kijungu" au birika ambamo mto mto unaingia na atelezaye kuingia humo hatoki mpaka "wazee" wa hapo wawe consulted.