Mkuu wa chuo cha polisi CCP cha mjini Moshi Afande Matanga Mbushi akipozi baada ya kula non dozzz wakati wa mahafali ya tano ya chuo kikuu cha ushirika na stadi za biashara,MUCCOBS. kushoto kwake ni Mwalimu wa Weru Weru Sekondari ,Mwalimu Josta .

Mdau Josta (shoto) baada ya kulamba Nondozzz Chuo kikuu cha ushirika na stadi za biashara Muccobz.Kulia kwake ni Lecturer wa chuo hicho George Germinus maarufu kama Sizya.

Wadau wakitembea kwa mbwembwe mara baada ya kulamba Nondoz .Hii ni katika mahafali ya tano ya chuo kikuu cha ushirika stadi za biashara MuccoBs.

Baadhi ya wahadhiri Chuo kikuu cha ushirika na biashara Moshi wakifuatilia kwa karibu hotuba mbalimbali kutoka kwa viongozi wakati wa mahafali ya tano ya chuo hicho yaliyofanyika mjini Moshi. Picha na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Mdau Germinus kata simu basi tupige picha... Mgogo nini!!

    ReplyDelete
  2. wapi komba, wapi machimu, wapi kumburu,wapi msaki, wapi beeeeeeeeeee

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...