nguo za kike na za kiume zimewasili toka Marekani, Italy na Spain duka la Virago lililo eneo la Namanga karibu na Best Bite Restaurant jijini Dar
Mpende mumeo, mkeo ama mwanao Krismasi hii
Magauni ya nguvu
Maridadi sana
Kwa habari zaidi ya duka la Virago
BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Waosha vinywa Mhe. Waziri Nyalandu anawaambia muache kuosha vinywa mara moja kwenye Michuzi

    "Nyalandu: Watanzania wa nje walalamikaji “Watanzania waache kulalamika tu kwenye mablog. Wengi wamekuwa walalamikaji tu, lakini hawachukui hatua,” alisema Nyalandu.

    Naibu wazkiri huyo aliwataka Watanzania hao, watumie muda wa kukaa kwenye mitandao, kuangalia taarifa zinazohusu fursa za uwekezaji zinazopatikana pia hata kwenye mtandao wa Kituo cha Uwekezaji cha Tanzania na kusaidia shughuli za uwekezaji hapa nchini.

    ReplyDelete
  2. Hii safi sana: Watanzania wa nje wawekeze nchini Tanzania; Watanzania wa nchini wasafirishe mamilioni kwenda nchi za nje!

    Gavana wa BoT Balali (marehemu) aliwahi kutamka kuwa pesa za Watanzania zilizoko nchi za nje ni nyingi uliko zilizowekwa katika mabenki nchini Tanzania!

    ReplyDelete
  3. Picha ya pili toka chini hizo gauni ching ching ....Love them...

    Hiyo ya waziri mhhhh..yeye muda wa kuperezua hizo malalamiko anaupata wapi? Critical criticism ni nzuri kwa nchi amabyo bado inakua...mtoto umleavyo ndiovyo akuavyo...yes sir yes sir all the times sio good...yeye akiwa anasoma hizo comments ni glass half all time nini? Kuna mambo mengi ya maana watu wanalalamika sio yote ni kuosha vinywa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...