MARAFIKI WA TANGA wanakutana tena Dar Es Salaam (MBALAMWEZI BEACH) siku Jumanne ya tarehe 28/12/2010 kwa ajili ya maandalizi ya FRIENDS OF TANGA GET TOGETHER PARTY 2010 itakayofanyika TANGA tahere 31/12/2010 usiku wa MWAKA MPYA....

Ambapo kesho yake yaani tarehe 01/01/2011 MARAFIKI WA TANGA watatembelea MAPANGO YA AMBONI pamoja na MAGOFU YA TONGONI. Ada ni 50,000/= (Elfu Hamsini tu) hii ikiwa ni pamoja na chakula na vinywaji usiku wa MWAKA MPYA. Je wewe ni mtanga, una asili ya TANGA na unaishi Dar..!!??

Basi Njoo upange na ukutane na MARAFIKI WENZAKO KUTOKA TANGA ili mfunge mwaka pamoja. Kwa maelezo zaidi wasiliana (0767000000 au 0719000010)

Mohammed Hammie Rajab
Production Manager
ANKO MO BLOGSPOT
P.o Box 6184
Tanga, Tanzania
E-mail: ankomo25@yahoo.com
Phone: +255719000010
+255789092533
Blog: http://www.ankomo.blogspot.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Safi sana Wagosi bahati Mbaya mwaka huu sirudi Bongo lakini tupo Pamoja ktk Fb hapy xmas & new year

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...