Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto,Sophia Simba (kushoto) akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam juu ya Mkutano wa Kimataifa wa mawaziri wanaoshughulikia masuala ya maendeleo ya wanawake na jinsia katika Nchi wanachama wa Ukanda wa maziwa makuu unaorajia kuanza tarehe 16 hadi 18 Mwezi huu mjini Arusha. Mkutano huo utafunguliwa na Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na kufungwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein. Kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari(MAELEZO) Clement Mshana.picha na Tiganya Vincent-MAELEZO- Dar es salaam

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...