Home
Unlabelled
moto ulivyoteketeza soko la uhindini jijini mbeya
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Inasikitisha kuhsuhudia matukio kadha wa kadha ya moto Mkoani mbeya,hii inatoa fundisho kwa halmashauri zetu na jiji ili kuhakikisha masokko oyetu yanajengwa kisasa kwa kuwa hali ya mbanano kama iliyokuwapo mbeya inafanya hata uzimaji wa moto uwe mgumu. pole kwa wote na hasa wakinga waliolaza pesa ndani ya maduka na vibabbnda.
ReplyDeleteMasoko ya siku hizi yana tofauti na ya kikoloni. Masoko ni machafu na mabanda kedekede utafikiri uongozi haupo wa kuhmizaz usafi. watu wa faya tutawaonea kila siku, njia zinakuwa hazipo vilevile na material za kujengea kila mtu analeta za kwake kuanzia magazeti ,nailoni mpaka nyasi sasa moto kwa nini usile mabanda? nadhani tujifunze na sasa turekebishe soko la sido kwa kuwa nalo si salama.
ReplyDeleteulaya mkurugenzi anajiuzulu BONGO je? au unasubiria ukuu wa Mkoa?
ReplyDeleteMhe Sugu, Kazi kwako.
ReplyDelete