Ankal pole na kazi.
Ninaomba wanajamii wenzangu na wazazi wenzangu mnisaidie kufahamu hili: Ni kwamba ninatafuta shule ya awali (Primary school) kwa ajili ya mwanangu. Ninaomba sana kama kuna yeyote anaefahamu shule nzuri iliyopo maeneo ya kati ya Mbezi mwisho na Kibamba tafadhali nifahamisheni ikiwezekana na contacts za shule/walimu wahusika. Ningependa mtoto wangu asome maeneo ambayo ni jirani na nyumbani anakoishi ili kumpunguzia bugudha ya kusafiri kwa muda mrefu kwenda shuleni.
Mwenye ufahamu wowote kuhusu hili tafadhali niandikie kupitia anuani hii youjiebj@live.com
KELAND NURSERY & PRIMARY SCHOOL is the best in Dar.
ReplyDeleteContact 0713236938
0784236938
Shule ya awali sio primary school mdau..... Primary school ni shule ya msingi.
ReplyDeleteMimi Preference yangu Mwanangu asivuke Moro Road Kila siku. Hivyo wewe angalia upande ulipo. Kuna St Felician P & N School upande wa Kushoto, Pia kuna ile ya Kanisa Katoliki Mbezi Luis
ReplyDeleteVile vile kuna Nyingine nyingi upande wa Kulia towars Morogoro
kuna ya kanisa katoliki parokia mbezi luis, on your left to Moro, then pale mbezi mwisho kituoni kuna Barney iko km mt 200 toka pale kituo cha mbezi mwisho upande wa kulia moro road ukiwa unaelekea moro,
ReplyDeletepitie hizo
waepushe wanao na fataki kwa kuwasomesha karibu na Nyumbani, ni mwitikio bora wa kuiga,kuwazuia watoto na fataki.
ReplyDeleteUnaishi wapi?
ReplyDeleteShule za namna hiyo ziko nyingi nchini Tz labda, unatafuta ya aina ya apartheid )ya wazito)!
Kuna St. Felister iko makondeko upande wa kushoto kama unaelekea morogoro na kuna st ann iko mbezi mwisho upande wa kituo kwa ndani kidogo
ReplyDeleteWe anonymous wa Thu Dec 02, 08:54:00 PM, soma maandiko ya mtoa hoja kwanza kabla hujaandika takataka zako! Umesikia?
ReplyDelete