Nancy Cosmas Salufu

Nancy anatimiza miaka saba ya kuzaliwa leo tarehe 02/12/2010. Sisi wazazi wake Eng. Cosmas Salufu na Theresia Cosmas wa Kibamba kwa Mangi DSM tunamtakia maisha mema yenye baraka tele na mafanikio mema katika masomo yake anayobukua pale St. Anne Maria DSM ambapo mwakani anaingia Grade 3. Mnuso utakuwa hapo nyumbani kwetu Kibamba kwa Mangi leo kuanzia saa 10 jioni hadi saa 2 usiku. Nancy anawakaribisha wanafunzi wenzake wote wa G2.
Ni mimi baba yake Eng. Cosmas Salufu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Hongereni sana.
    napenda kuuliza hii St. Anne Marie ipo hapo Kibamba kwa Mangi?
    Sherehe njema
    Mdau

    ReplyDelete
  2. Jamani uncle Salufu hongera!
    Nancy kawa mkubwa sasa.

    Kama Fr Beno atakuwepo mpe hi sana.


    Mdau- Sweden

    ReplyDelete
  3. Aunt Judy Mhuto-USADecember 02, 2010

    Happy bday my Darling, Mama Mkubwa Love you so much, Enjoy, its your day, Love u,

    ReplyDelete
  4. mlee vizuri my son anataka mchumba wa tabia nzuri baadaye

    ReplyDelete
  5. Auntie Dapa- U.S.A.December 02, 2010

    Da Teddy Hongereni sana kwa b'day ya binti. Baraka nyingi zimiminike kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Sherehe njema na sikukuu njema.

    ReplyDelete
  6. Happy Birthday Nancy,Mungu akujalie afya na baraka tele!
    Mimi ni mama Chantel Isaac!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...