ankal Issa Muhidin Michuzi
napenda kutuma sharamu ya rambirambi ya mwaka 2011 kwa wandugu zangu wa tanzania kwa kupita mwaka yote kwa amani ya bwana. hata shishi pia mungu anatushaidia na tunapita mabaraa yote mubaya ya hizo mwaka ambao umepita. napenda pia kupongesha wangudu wote sote wa tz, kwa kufanya uchaguzi muzuri san na wenye faraka na amani kwa afrika ya mashariki wote
hakuna amereta ghasia au mang'aa kwa uchaguzi wenyu, na hata hakuna mukora waliongizishana kwenye mabo yenyu. shida yetu ssisi sote ni hii ya wahizi wa pesa ya serekari ambayo inasumbua afrika wa mashariki wote. sasa kwa sisi wakenya tutaperekeshana nao mang'aa hata mpaka mahakama ya ICC na mawaziri wote wanajiuru kuhachia uchanguzi wa uhuru
sasa tunakwenda kwa mwaka mupya kwa amani na farakana, na tunamuomba mwenyezhi mungu apeane watu wetu wote na hata marais yetu ya Kikweta, Museveni na Kibaki na Raira Odinga kuongoza iinchi zhetu kwa amani hadi uchaguzi ya Kenya pia ufike hapa 2012. kwa wandungu na mabwana, ashanteni shana na tusidi kukaakaa na kuombeana kwa amani kama jirani muzuri kabisa sana. sasa poreni sana kwa kukosa sitima kwa mwaka muzima, tunaombeana kwa mungu nyinyi pia mupate sitima ya kutosheana kwa mwaka wote unaokuja. mutuombee viongozi yetu wengine wanapereshwa na Mureno Ocampo wa The Hague, sasa kwa wale ambao ni wahizi, tunaseema shauri ya, shauri yao
asante sana
Mujomba Paulo Kamau
Nakuru Kenya
napenda kutuma sharamu ya rambirambi ya mwaka 2011 kwa wandugu zangu wa tanzania kwa kupita mwaka yote kwa amani ya bwana. hata shishi pia mungu anatushaidia na tunapita mabaraa yote mubaya ya hizo mwaka ambao umepita. napenda pia kupongesha wangudu wote sote wa tz, kwa kufanya uchaguzi muzuri san na wenye faraka na amani kwa afrika ya mashariki wote
hakuna amereta ghasia au mang'aa kwa uchaguzi wenyu, na hata hakuna mukora waliongizishana kwenye mabo yenyu. shida yetu ssisi sote ni hii ya wahizi wa pesa ya serekari ambayo inasumbua afrika wa mashariki wote. sasa kwa sisi wakenya tutaperekeshana nao mang'aa hata mpaka mahakama ya ICC na mawaziri wote wanajiuru kuhachia uchanguzi wa uhuru
sasa tunakwenda kwa mwaka mupya kwa amani na farakana, na tunamuomba mwenyezhi mungu apeane watu wetu wote na hata marais yetu ya Kikweta, Museveni na Kibaki na Raira Odinga kuongoza iinchi zhetu kwa amani hadi uchaguzi ya Kenya pia ufike hapa 2012. kwa wandungu na mabwana, ashanteni shana na tusidi kukaakaa na kuombeana kwa amani kama jirani muzuri kabisa sana. sasa poreni sana kwa kukosa sitima kwa mwaka muzima, tunaombeana kwa mungu nyinyi pia mupate sitima ya kutosheana kwa mwaka wote unaokuja. mutuombee viongozi yetu wengine wanapereshwa na Mureno Ocampo wa The Hague, sasa kwa wale ambao ni wahizi, tunaseema shauri ya, shauri yao
asante sana
Mujomba Paulo Kamau
Nakuru Kenya


Jamni Anko, hii ni rambirambi tena
ReplyDeleteWe Kamua wewee, wacha hiyo mambo yako wewe unakuwa na kiswahili murefuuu! Njoo nikubaie kamkebe kamo, kamoja vyenyewe vile navokuona uko unakaa kama vile unagonjweka!Wacha kulalamika juu ya stima.
ReplyDeleteAnkal, acha hizo hata mutu ya kissii haiwezi andika hivo! Ati wewe wajifanya Kamau? AAhhhh, baTZ angalieni huyu ankal. Ataka aanze zile discussions tu.
ReplyDeleteRegards,
Githii.
SAFI SANA mJOMBA kAMAU TUMEKUPATA SANA.
ReplyDeleteI REALLY LOVE YOUR SPIRIT BROTHER!
TUNASUBIRI WEZI WA MALI YA UMMA WAPELEKWE MIKONONI MWA OCAMPO!
NAKUTAKIA MWAKA MPYA MUZURI SANA WEWE NA NDUGU ZETU WENGINE!
Mungu Ibariki Africa ya Mashariki na watu wake wote.
Hiki ndicho kweli kiswahili cha watani zetu au kaamua kuchekesha??
ReplyDeleteMambo vp kaka Mithupu,
ReplyDeletenafikiri nilishawahi kusoma article fulani ya huyu jamaa na Kiswahili chake hakikuwa vibaya hivi, kuna mtu ameamua tu kutumia jina lake na kutuma sidhani kama ni yeye.
nkya
a - city
HUYU SI MKENYA, NI MTU KAJARIBU KUKIPINDA KISWAHILI ILI AONEKANE NI MKENYA.PERIOD!
ReplyDeleteAhsante Mujomba Kamau. Kweli tunahitaji rambirambi, maana mafisadi wanatutafuna sio kidogo. Nawe Mujomba tunakutakia rambirambi ya mwaka mupya!
ReplyDeletembavu kwishney!!!!
ReplyDeleteHivi wewe mjomba Paulo Kamau unajua maana ya salamu za rambirambi wewe?
ReplyDeleteHaya bwana Kamau ,ninyi wakenya mnapenda sana uzungu na ndio maana hamtaki kujifunza kiswahili fasaha
Mhhhhhh....!! huyu ni kamau feki umezidisha kuandika ofyoofyo hata hainogi.....
ReplyDeletemhhh mume wangu mkenya kasoma hii kasema sio mkenya kaandika hii...Good try through
ReplyDeletehuyu sio mKeii!
ReplyDeleteBali anajaribu kuigiza kama wao, hata hivo inaburudisha sana , ni kama mchezo wa maigizo ulivo mfn Dokii.
Iwe kweli au la, cha msingi umenifurahisha.
Kwa upande mwingine we Kamau huna mpango kaa kushoto, usilete za kuleta, Ocampo ndio kiboko yenu, na tunajua mnamendea ardhi ta Tzee, ole wenu mlete pua kwenye sera zetu za adrhi. Tutawatoa kwa speed zote.
Naona nyie mna viongozi wawili Kibaki na Odinga , sijui nani mwenye leseni ya udereva kati yao? kwanini msiwe kama sisi JK, na Ug ni YM
Mungu ibariki EA
JAMANI SALAMU ZA MWAKA MPYA ZIMEKUA RAMBIRAMBI?WATANI WA JADI MNATUANGUSHA. KISWAHILI NI KITAMU UKIKIJUA, NA KWA KWELI NAJISIKI RAHA KUSEMA NINAZUNGUMZA KISWAHILI.
ReplyDelete