Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu,Peniel Lymo (aliyekaa wapili kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa wizara na sekta Binafsi katika kikao na Ujumbe wa Benki ya Maendeleo ua China (china Development Bank)kilichofanyika kwenye ukumbiwa Ofisi ya Waziri Mkuu Mjini Dar es salaam Desemba 17, 2010. Wapili Kulia (aliyekaa) ni kiongozi wa ujumbe huo, Bw. HZhenhua. (Picha na Ofisiya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...