



Mh. Waziri wa Afya juu ya huduma ya uchunguzi na tiba ya figo.


Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Accident and Emergency (A&E)ndo sawa na Magonjwa Ya Dharula?
ReplyDeletewadau naomba msaada,anaposema daktari bingwa anamaanisha nini,ni cheo ama alishindana akashinda sijaelewa..
ReplyDeletedaktari bingwa tunaelewa lakini hilo la " magonjwa ya dharula" ni kiboko!!! nisaidieni sielewi kiswahili au ndio kiswahili kinakuwa siku hizi?
ReplyDeletebingwa ni yule alieshinda! umesomea udaktari kwa ujumla....halafu uka-amua kuisomea, kuijua, na kufanya utafiti na tiba katika pua na koo tu,au figo au ngozi tu! hapo wewe ndio bingwa....huwezi kuwa sawa na Daktari mwingine wa kawaida.Yaani wewe ni BINGWA katika eneo hilo!
ReplyDelete