

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
KAMA KAWAIDA NAONA NAE ANAANGALIA WAPI AJIMEGEE ILI KESHO ASHUSHE BONGE LA HOTELI AU LODGE. NDIO TANZANIA YETU LAZIMA UCHUKUE CHAKO MAPEMAAA
ReplyDeletehizi pozi nyingine.Kama vile VP anajua kinachoendelea ktk hiyo ramani.Have a good vacation anyway.
ReplyDeleteDuh
ReplyDeleteKajamaa kapokapo tu! hata saa hakana..lakini kanasumbua big time!
Waswahili wanasema "Raha jipe mwenyewe","Baada ya ziki Faraja","Mchumia juani Hula kivulini" MH.kazi kwako baada ya kukosa kuongaza Zanzibar umepata kuwa Makamu wa Rais kazi kwako nakutakia mapumziko mema lakini kumbuka mnamadeni na wananchi wa Tanzania, mmezunguka nchi mzima kunadi sera zenu MH. Pumzika lakini watanzania wote wanawaangalia na wanaimani MH.Rais pamoja na MH.Makamu wa Rais Kila la heri katika mapumziko yako kazi bado ipo mbele.
ReplyDelete