UONGOZI NA WANACHAMA WA KIJITONYAMA CHIPUKIZI SPORTS CENTRE UNAYO FURAHA KUWAFAHAMISHA WADAU WETU WOTE WA SOKA KUWA TIMU YETU YA U-20 (PICHANI JUU) IMEKUWA TIMU YA KWANZA KUTINGA HATUA YA ROBO FAINALI JANA BAADA YA TIMU YA MBURAHATI ALL STAR(MIRAMBO ) KUTOTOKEA UWANJANI NA HIVYO KCSC KUPEWA MAGOLI MATATU NA POINTI 3 NA KUFIKISHA JUMLA YA POINTI 8,BAADAE KCSC ILICHEZA MCHEZO WA KIRAFIKI NA TIMU YA AMREF F.C NA KUISHINDA GOLI 7-0.KCSC INATEGEMEA KUKUTANA NA TIMU ZA SIMBA B,YANGA B AU AZAM B RATIBA YA ROBO FAINALI ITAKAPOTOLEWA.
IMETOLEWA NA
CHRIS FIDELIS
KATIBU MKUU MSAIDIZI-KCSC

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...