Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wenza wa mabalozi wanaowakilisha nchi mbali mbali hapa nchini wakati wa sherehe ya mwaka mpya(Sherry Party) iliyofanyika katika viwanja vya ikulu jijini Dar es Salaam jana jioni. Picha na mdau Freddy Maro

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. HIVI HIZO TICKETS ZA KUJA BONGO KALIPA NANI?? ROUND TRIP FIRST CLASS KWA WAKE WA MABALOZI WOTE HAO?? YAANI MAREKANI SIJAWAHI KUONA UCHAFU KAMA HUU.. DINNER ?? FLYING OVER FOR DINNER.. PRICE TAG WALALA HOI NI ATLEAST $100,000 (Yes million mia na kitu)

    ReplyDelete
  2. Oyaaaa anoni hapo juu acha ujuba. soma habari vizuri. kazi kukosoa tu. at (bana pua) marekani sijui nini....We ushamba haujakutoka tu? Inaonesha wewe unaishi ghetto

    ReplyDelete
  3. Annon hapo juu SEMA KAMA UNATAKA tufahamu uko USA...mbona hii kitu inafanyika kila mahali mwishoni mwa mwaka kujipongeza kwa kumaliza mwaka???halafu hawa hawajasafiri kama unavyofikiria, na pili LAZIMA UELEWE MAMA WA KWANZA ana budget yake ya vitu kama hivi sio unakurupuka tu toka kubeba mabox na kuja rusha utumbo wako hapa.nawakilisha,
    Mdau wa Ukerewe(UK)

    ReplyDelete
  4. Anon wa kwanza nafikiri unatakiwa kuomba msamaha, na next time kabla hujachangia au kutoa maoni soma habari uelewe. Hawa ni wake za mabalozi walioko nchini Tanzania (mabalozi wanaowakilisha mataifa mengine nchini kwetu) Tatizo kwa vile watu mko marekani mnajua kila kitu, soma habari, ielewe na kisha toa maoni. Mama Kikwete hongera kwa kuwaonyesha hao watu ukarimu ni tabia yetu, tusiwe wachoyo kila wakati unawaza uchumi mbaya

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...