Kaka Michuzi,
Salaam sana na heri ya mwaka mpya kwako na team yako.
Tafadhali naomba niulizie hili swali langu kupitia blog ya jamii labda nipata jibu la kueleweka.
Jamaa yangu anatafuta kiwanja cha kununua Tegeta au Boko. Kiwe na hati .Tafadhali wasiliana nami kwa barua pepe sophieyk@yahoo.com. kama wewe ni mwenye kiwanja, Dalali hapana.
Asante,Mdau

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...