Home
Unlabelled
ndinga lauzwa hili ati...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
GARI HII IPO UK,ATUPE BEI YA HAPA
ReplyDeletehiyo bei bila kodi hailipi wala nini kwa gari hiyo hupati mtu, kwanza zzinasumbua sana hapa bongo mafundi wetu hawazifahamu,pia sparres zake ni noma! so punguza bei km wataka kuuza!ATLEAST SHOULD BE 7M bila kodi!
ReplyDeletehizo gari kwa kifupi ziko cheap sana sasa leo unasmea 14m bila kodi imekuwa ferrari?hizo gari ziko kibao autotrader cheap sana tena za miaka ya karibuni,mwenye kutaka kuona link hii hapa wacha wizi na kuhijjack price kisa huko ulaya.
ReplyDeletehttp://www.autotrader.co.uk/search/used/cars/mercedes-benz/m_class
Tsh 14.5M ni sawa na USD9,600,very fair kwa ML 1999 model.Ila kwa wasiojua magari utawasikia na midomo yao ya kunuka,eti milioni 7,kwani imekua starlet?Kama huna hela kaa kushoto,acheni mwenzenu auze gari.
ReplyDeleteAnony Wed Jan 19, 01:33:00 PM 2011 wewe kweli noma. Nimeicheki hiyo link na kukuta bei za chini kuliko hiyo tunayotajiwa hapo juu. Any way, mdau anafanya biashara kwa hiyo mwenye pesa zake akamate hiyo Mercedes-Benz ML320.
ReplyDeleteANA WAZIMU.....
ReplyDelete