Familia ya Marehemu Mzee Elisa George MALLYA wa Moshi, Maili Sita
wanasikitika kutangaza kifo cha Bwana Hillary Mallya kilichitokea
tarehe 8 Januari 2011, jijini Dar es Salaam.
Hillary alikuwa amefikia umri wa miaka 52, akiwa anaishi Dar es Salaam
pamoja na mke wake na watoto wao watatu.
Mazishi yamepangwa kufanyika tarehe 12 Januari, nyumbani kwa Marehemu
Hillary Mallya, Maili Sita, Wilaya ya Hai, Mkoani Kilimanjaro.
Bwana Ametoa, Bwana Ametwaa;
Jina la Bwana Lihimidiwe.
- Amina.
Kwa mawasiliano zaidi:
Bw. Albert Elisa Mallya
+255 78 476 0833
wanasikitika kutangaza kifo cha Bwana Hillary Mallya kilichitokea
tarehe 8 Januari 2011, jijini Dar es Salaam.
Hillary alikuwa amefikia umri wa miaka 52, akiwa anaishi Dar es Salaam
pamoja na mke wake na watoto wao watatu.
Mazishi yamepangwa kufanyika tarehe 12 Januari, nyumbani kwa Marehemu
Hillary Mallya, Maili Sita, Wilaya ya Hai, Mkoani Kilimanjaro.
Bwana Ametoa, Bwana Ametwaa;
Jina la Bwana Lihimidiwe.
- Amina.
Kwa mawasiliano zaidi:
Bw. Albert Elisa Mallya
+255 78 476 0833
Kwaheri Brother Hillary!
ReplyDeleteMay your Soul be Blessed to Rest in Eternal Peace.
And may God also Bless your family with His strength and comfort, helping them through the grief of your physical absence while encouraging and inspiring them with the rememberance of many enjoyable moments shared with you.
DS.
Poleni sana wafiwa
ReplyDelete