Music video ya kwanza ya msanii Francia Chengula wa kibao kipya cha UKO WAPI MPENZI ambacho kimetungwa na kuimbwa na Francia mwenyewe na kurekodiwa huko London, UK.

Kibao hiki pamoja na vingine vinapatikana katika album yake mpya inayoitwa 'Moyo Wangu' ambayo kwa sasa ipo Itune na Amazon MP3

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Hivi naomba kuuliza Tanzania hakuna Studio za kurekodi?? kama zipo zinafanya nini??

    Watanzania wengi wakirekodi nje ya nchi kazi zinakuwa nzuri.Nikikumbuka Innocent Galinoma naye alitoa kazi nzuri.Tanzania watu wanavipaji lakini nyimbo zao hazina ubora,whats wrong with Recording studios in Tanzania.Kwa nini Tanzania hakuna kitu tunachojivunia?.

    Naomba huu ujumbe usomwe na producers wa Tanzania.Wimbo mzuri na una ubora wa kimataifa.Shukrani zimwendee producer wa studio Iliyorekodi huu wimbo.

    ReplyDelete
  2. Mrudie mwenzio kesha lia sana, nimependa midundo ya vyombo na mistari yake. Kumbe midundo ya 'Pop' inaweza kuendana na lugha ya Kiswahili.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...