Mtunzi wa vitabu John Tschohl amemtumia ankala nakala ya kitabu kipya (pichani) kimsaidie kwenye libenekel. tatizo ankal kiinglishi iz not richebo. Sasa hata haijulikani itakuwaje. Ila kinaonesha ni bonge la kitabu na kwa hapa bongo kinapatikana kupitia

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. ha ha haaa BIG UP ISSA MCHUZI globu,itabidi umtafute us bloga,john mashaka ama peter nalitolela kutoka yunivesiti mlogolo wakutafsirie.

    ReplyDelete
  2. Ankal ...kwa style yako ya kuchakachua comments za wadau hiyo message ni sawa na kumpigia gitaa mbuzi acheze........mtoto mdogo Mange Kimambi na ki-blog chake cha U-turn anakutoa knock-out!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...