


Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hawa nao wanahangaika! waone na magwanda yao! Ona mama maria amewatilia CCm ha ha ha!
ReplyDeletehongereni sana kwa kutambua mchango wa baba wa taifa katika taifa hili sasa likiwa kijana na pia hongera mama maria kwa kusonga mbele ki umri na kuendelea kutukuka pia najua utakua umewapa somo vijana wako juu ya siasa za mwalimu nafikiri hipo siku nawe mama maria utavaa hizo granda za chadema sio mbaya leo ukavaa hizo za kijani
ReplyDeletePamoja na Kuwaheshimu Ndugu zetu wq CHADEMA, naomba niwape ushauri wapunguze siasa kidogo waanze kufanya kazi walizotumwa na wananchi waliowachagua, Miaka mitani si mbali sana watakuja jutia muda walioupoteza
ReplyDeletekufanya kazi za Umma kama Ubunge na Uwaziri, si kuvaa suti na kukaa Dar es saalam, au mijini kweye viyoyozi.ni kuangalia mazingira husika na kushirikiana na wananchi walio kuchagua ili ujue kinachowasibu na ukipatie ufumbuzi yakinifu. kwahiyo kuvaa magwanda si kosa bali ni kuonesha wapo kikazi zaidi.
ReplyDeleteKazi gani wanayoifanya sasa zaidi ya kuvaa magwanda na kuandamana? Huko kuandamana ndio kutatua kero za wananchi zilizoko majimboni mwao? Mbona siwaelewi? Kama jimboni kwetu kuna tatizo la maji, kuandamana kutatuletea maji? Kama kuna tatizo la shule, vyumba vya madarasa au makazi duni kuandamana kutaondoa hayo matatizo?
ReplyDeleteNyie CCM na wabunge wake sikilizeni niwape ushauri wa bure, yale majimbo yaliyochukuliwa na Chadema mkiyataka mtayapata kirahisi wakati wao wanazurura kula hela ya Sabodo nyie nendeni mkafanye kazi za jamii kwenye hayo maeneo, fanyeni kazi huko kwa kutumia pesa kutoka kwenye serikali yenu iliyoko madarakani na hata kwa miradi mnayoweza kuivumbua pamoja na wananchi na mkapata ufadhili kwenye mashirika na NGO za kimataifa. Piga mzigo kwa kwenda mbele, wakistuka ni 2015 hawana pa kushika. Ila kwa jimbo la Zitto Kabwe sidhani kama inawezekana the guy is using the above strategy!
Mama Maria kweli wewe ni kiboko yaani umewavalia kabisa sare ya CCM? Watu wenye akili zao wanaelewa ulikuwa unawaambia nini hao vijana, maana wewe hao kina Mbowe unawafahamu vizuri sana tangu enzi ya Mzee wao, imani yao na kwako ni vitu viwili tofauti hao ni mabepari na wewe ni mjamaa! Waache wavae sare zao za mabepari. Walitaka kukutumia kama mtaji kwenye maandamano yao lakini umewawahi!lol!
ReplyDeletehakuna shida kuvaa magwanda. hata hivyo hawakuenda kumbadilisha mama maria itikadi. hiyo nguo ni ya kijani na haijaandikwa CCM.ajabu leo michuzi umetupa kitu hiki. tutaanza kukutembelea tena.
ReplyDeletehongera chedema kwa kuthamini mchango wa baba wa taifa, wengine wamesahau mchangao wake wanafanya wanavyotaka
ReplyDeletekuvaa magwanda si kosa, ni alama yao ya utambulisho wameamua kuchagua, kama wengine walivyochagua kofia, fimbo, nk,chadema chapa mwendo ule ule, kazi tunaiona, kwenye habari ya leo tunamuona Lema Arusha anafanya mambo, na kwa kumtembelea Mzee Nyerere, natumaini naye ametambua na anaikubali kazi yenu huko huko aliko!
ReplyDelete