Leo ni miaka 22 tangu ulipotuacha kwa kuitwa na mwenyezi mungu.
Kumbukumbu juu yako bado ni mbichi kabisa.
Tunakumbuka miongozo yako ya maisha, hekima, busara na zaidi ya yote kicheko na upendo wako kwa familia.

Tunamwomba MUNGU akupumzishe kwa AMANI- AMINA.

Unakumbukwa na mkeo Bernadeta, mtoto Evance,
wajukuu, mama yako Rhoda, kaka,
dada na shemeji zako ndugu jamaa na marafiki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...