
Waweza kuwa ni muda mchache au mrefu lakini ni mwaka sasa umetimia tangu ulipotutoka Fundikira (28 Feb 2010)Tunakukumbuka sana sisi watoto,mke,wazazi,kaka,dada pamoja ndugu na jamaa sisi tulikupenda lakini Mwenye enzi alikupenda zaidi ! Tuamuomba sana Mwenye Enzi mtukufu akupumzishe kwa amani.
Amina !
Familia ya Msabila Kassembo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...