Marehemu FUNDIKIRA MSABILA KASSEMBO

Waweza kuwa ni muda mchache au mrefu lakini ni mwaka sasa umetimia tangu ulipotutoka Fundikira (28 Feb 2010)Tunakukumbuka sana sisi watoto,mke,wazazi,kaka,dada pamoja ndugu na jamaa sisi tulikupenda lakini Mwenye enzi alikupenda zaidi ! Tuamuomba sana Mwenye Enzi mtukufu akupumzishe kwa amani.

Amina !

Familia ya Msabila Kassembo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...