Wapendwa wanajumua na majirani zetu kutoka Afrka ya Mashariki;Ninawasalimu katika jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo.
Ninayoheshima kuwajulisha mtumishi wa Mungu APOSTLE PAUL GIDUDU kutoka Uganda pamoja na mke wake PASTOR MARY GIDUDU kutoka Tanzania watakuwepo katika kanisa lako la Umoja Internationaonal Outreach leo Jumapili saa kumi na moja na nusu jioni mpaka saa mbili usiku (5:30-8:00Pm).
Watumishi wa Mungu pichani wamesha fanya jazi ya Mungu sehemu mbali mbali duniani na Mungu amekuwa akiwatumia kwa namna isiyo ya kawaida. Ninapenda kumhakikishia kila moja wenu aje akitegemea kukutana na Mungu kwa namna ya kipekee.Ukiwa umepata bahati ya kusoma tangazo hili naomba usisite kumkaribishe mwingine.
Mahali: Kanisa jipya la umoja;
6411 LBJ FREEWAY
DALLAS TEXAS,75240
Muda: Saa 11:30-2:00 (5:30-8:00 Pm)
Mawasiliano:214 554 7381,682 554 6402,405 990 6441
Email:umojachurch@yahoo.com
Pastor Absalom Nasuwa
Dallas,Texas
Ninayoheshima kuwajulisha mtumishi wa Mungu APOSTLE PAUL GIDUDU kutoka Uganda pamoja na mke wake PASTOR MARY GIDUDU kutoka Tanzania watakuwepo katika kanisa lako la Umoja Internationaonal Outreach leo Jumapili saa kumi na moja na nusu jioni mpaka saa mbili usiku (5:30-8:00Pm).
Watumishi wa Mungu pichani wamesha fanya jazi ya Mungu sehemu mbali mbali duniani na Mungu amekuwa akiwatumia kwa namna isiyo ya kawaida. Ninapenda kumhakikishia kila moja wenu aje akitegemea kukutana na Mungu kwa namna ya kipekee.Ukiwa umepata bahati ya kusoma tangazo hili naomba usisite kumkaribishe mwingine.
Mahali: Kanisa jipya la umoja;
6411 LBJ FREEWAY
DALLAS TEXAS,75240
Muda: Saa 11:30-2:00 (5:30-8:00 Pm)
Mawasiliano:214 554 7381,682 554 6402,405 990 6441
Email:umojachurch@yahoo.com
Pastor Absalom Nasuwa
Dallas,Texas
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...