Picha zaidi na libeneke dada la Globu ya Jamii
BOFYA HAPA
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
kwani nani alimpa Babu wa loliondo kibali cha kutoa tiba za asili?
ReplyDeleteTeh Teh!
ReplyDeleteUngesema imetoka kwa Mungu Dogo, wewe unasema imetoka kwa mama? Ona sasa, wakati wewe unaambiwa upeleke dawa yako Muhimbili, Serikali imepeleka wataalamu Loliondo 'kuomba' Dawa ili waipeleke Muhimbili.
Pole Dogo, ulaji huooo.. unayoyoma!
Mnamuonea mbona Loliondo yeye hapelekewi barua? Ni kiwango gani yeye alipasi na huyu nin nini alichofail?
ReplyDeletekama ni kusimamisha simamisheni wote hata waganga wa kienyeji sio huyu tu...
LOLIONDO-MBEYA stop!
ReplyDeleteWatanzania tumekuwa kama vivuli sasa tunafuata tuuuu. Serikali imeona ikomeshe maana ni muda mchache tu mngesikia maelfu ya watu wamepanga mstari mbeya kijijini huko aliko huyo dogo. Hivi hatuwezi ku reason out kwamba huu ni utapeli sisi wenyewe?
ReplyDeleteLoliondo tuliambiwa ni tiba ya kiimani, iweje hii ya Mbeya inakataliwa wakati ni ya kiimani?
ReplyDeleteAu serikali sasa inaingilia imani za watu?
Mnatonea sana sisi wananchi wa huku kusini kwa kuwapendelea wa kaskazini. Serikali onevu kabisa, sisi hatuna pesa za kutufikisha huko Loliondo za kukodi magari yenu ya watalii na kwenda kutalii kwa babu.
mmh wabongo bwana!Huyo dogo alikuwa wapi tangu zamani?Kwa hiyo anataka kutuambia mama yake alikuwa mganga wa kienyeji? au......tutanyweshwa mpaka sumu mwaka huu...mi nasema hivi walikuwa wapiii?
ReplyDeletemwaka huu kazi ipo. Tutakunywa hata mavi ya tembo? DOGO!
ReplyDeleteKwa kweli tuendako siko. Haya nami ngoja nibuni namna ya kuwavuna watu kwa staili ya dawa. Kumbe ni dili kubwa sana hilo!
ReplyDelete