Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Extra Bongo nimeshawateua Bendi Bora ya Tanzania mwaka 2011 kwa vigezo vifuatavyo:
    - Bendi bora inayo- balanace wapiga vyombo na wasanii wengine wa kundi kama wanenguaji, waimbaji
    - Hii video ni video bora ya Bendi Tanzania kwa uchangamfu na live concert set-up
    - Bendi zingine zinachukua mtaa, Extra Bongo mmeteka nchi
    - unadhifu na utawala wa steji
    Mwisho nimewakubali na kweli mwaka huu mtatuuwa.

    Mdau
    Mhanga
    Visiwani Honolulu
    Bahari ya Pasifiki

    ReplyDelete
  2. Bwana wa Honolulu naona unamisi sana hizi sebene! huko unatunyima hizo bichi lakini Afrika mambo poa. Hiyo za Exta bongo ni trela tu kuna hizi cheki za mzee mwenyewe Werrason. Hapa utaona staili zote....!
    http://www.globalpublishers.info/video/werrason-new-sebene-extrait
    http://www.globalpublishers.info/video/werrason-new-sebene-extrait2

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...