Mwenyekiti wa Kamati ya Maendeleo ya Jamii Mh. Jenista Mhagama (kulia) akiongea kwenye mkutano wa wadau akiwa meza kuu na Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana,Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara. Kamati ilikutana jijini Dar es Salaam na uongozi wa Wizara ya Habari Vijana, Utamaduni na Michezo kwa dhumuni la kufahamiana na kubadilishana mawazo kiutendaji kabla ya kuanza kazi rasmi
Mwenyekiti wa Kamati ya Maendeleo ya Jamii Mh. Jenista Mhagama (kulia) akiongea kwenye mkutano wa wadau akiwa meza kuu na Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana,Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara. Kamati ilikutana jijini Dar es Salaam na uongozi wa Wizara ya Habari Vijana, Utamaduni na Michezo kwa dhumuni la kufahamiana na kubadilishana mawazo kiutendaji kabla ya kuanza kazi rasmi
Picha ya pili na ya tano naona mshikaji anameditate!!! Akitoka hapo anadai posho ya kikao kwa nguvu kweli... Mimi binafsi nataka yule mshikaji arudishe posho aliyopewa kuhudhuria hiki kikao. Bongo tambarare!!
ReplyDeleteMdau, Boston, U.S.