Home
Unlabelled
maafisa wa kijeshi watembelea EPZA leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
EPZA ndio nini? Siku nyingine hizi habari nusunusu msituletee kwenye blogu yetu ya jamii.
ReplyDeleteMdau hapo juu afadhali umeona hii...Mimi kila siku nashangaa hawa waandishi wa habari aua watu wanaotaka kuwa waandishi wa habari wakileta habari huku ni nusu nusu. Wanafikiria wote tunajua anachoelezea au tunaishi Dar. Mara VETA leo EPZA kesho sijui ni nini tena...Kama matu unataka ujumbe wako ufikie walengwa wa habari yako chukua muda kutafakari nini unaandika, nani unataka habari hii imfikie.
ReplyDeleteNatumaini kuelezana huku kutazalisha waandishi wa habari bora TZ kwa vile kama ni hivi kila siku tukienda kwenye soko huria mashindano yatatushinda...
Huyo polisi katokea wapi tena humo?
ReplyDeleteNinyi hamwendi kwa Babu?
Ndiyo, nyie JW ndo sehemu ya serikali iliyoonyesha msimamo wa kitaalamu mpaka sasa, sio kama polishi. Sijaona gwanda lakijani likibwia kikombe.