Home
Unlabelled
Makamu wa Rais atembela Bandarini jijini dar leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Natumaini walimweleza na procedures za mtu jinsi anavyo go through kukomboa mzigo wake katika hiyo bandari...
ReplyDeleteInabidi pia viongozi hawa wa discuss uozo na ubadhirifu uliodumu kwa muda mrefu hapo bandarini Dar,Kero ya bandari yetu imekuwa kama ugonjwa sugu usiokuwa na dawa !!serikali zetu za awamu zote zimeshindwa kudhibiti rushwa,uzungushaji na ubabaishaji uliokithiri katka bandari yetu,kutoa mizigo au magari bandarini limekuwa tatizo kubwa kwa miaka mingi,hata kama unazo pesa keshi za kutolea mzigo wako,lazima utapitishwa kwenye mlolongo mrefu ili mradi tu utoe chochote.Tra nao waangaliwe hao ndio mafisadi wengine,ikibidi wawe wanapewa tranfer kila baada ya muda mfupi ili kuweza kudhibiti huo mtandao wao wa rushwa.Tumechoshwa na mateso ya bandarini na Tra.
ReplyDeletemwananchi Dsm.
Ni kweli uzungushaji,ubabaishaji,kupoteza muda mwingi katka kutoa mizigo kumezidi,na mwisho baadhi ya watanzania huamua kwenda kutolea mizigo yao mombasa.Kinachotakiwa ipatikane njia ya kudumu kukomesha rushwa na mzunguuko mkubwa ambao siyo wa lazima katika kutoa mizigo kwenye bandari zetu,bila kusahau Tra,hao ndio kichocheo kikubwa cha rushwa na usumbufu,wananchi tuungane kupinga mateso na manyanyaso tunayoyapata bandarini na Tra.
ReplyDelete