Home
Unlabelled
Martin JP & Angela day...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hongera Jump Around...maisha ya ndoa kuvumiliana kwa hiyo ukumbuke hilo.
ReplyDeleteSasa mambo ya flavanite na maisha acha.. wewe kula ugali na mkeo ukalale.. na marekani ndio sahau kabisaa. tuachie wazungu wetu sisi tule bata.. umeme haukatiki huku na choo automatic.
ReplyDeleteMbeba maboksi
Hongera kaka..
Marekani - Karibu na Mungu
Nimeshindwa kumu-identify JP, nimejionea vurugu tu ya Wanakamati wakishangilia ushindi wa Liverpool.
ReplyDeleteHata hivyo, hongera sana Bw. Martin JP ka kujinasua na manungaembe.
Kiroboto, Mafia Island
Bwana Mkubwa kweli lazima mambo ya Maisha na jamii yake mwisho. Lazima uwahi nyumbani ule ugali na mkeo. Ukiungana na kina mwana-FA (mabachela) ndo ujue unaanza mushkeli wa ndoa yako. na wewe Angela uchangamke na mumeo. Hapo hakuna tena kubebwa bebwa. ndo utoto ushaisha hivyo. Maisha ni ninyi wawili na watoto wenu, hakuna cha anko wala baba mdogo wala sijui rafiki ya nani tena. Ndoa haina fomula zaidi ya Upendo, kuvumiliana na kupendana,
ReplyDeleteBig up and welcome to our beautful Club
mbeba mabox wa Uholanzi