Bw Mshana na Bi Emmy Musokwa wakimvisha Mh. Anne Makinda vazi la heshima na kumpongeza kwa kuchaguliwa kwake kuwa Spika wa Bunge la Tanzania


Mh. Spika Anne Makinda akizungumza na Watanzania waishio Freetown, SierraLeone leo walipomkaribisha chakula cha jioni. Kulia kwake ni Bi Emmy Musokwa Bingwa wa Uangalizi na Ufuatiliaji wa PAGE , mwingine ni Bw. Omary Mjenga Mwakilishi Mkazi wa shirika la Umoja wa Mataifa la UNOPS


Watanzania waishio Sierra Leone wakimsikiliza kwa makini Mh. Spika Anne Makinda


Spika kwenye picha ya pamoja na baadhi ya watanzania waishio Sierra Leone.

Picha zote na Prosper Minja wa Bunge

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Bw Mjenga, Mkuu salamu! Tunafurahi kukuona na tunaendelea kukutakia kila la kheri. Vako

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...