beki wa timu ya Afrika ya kati. Manga David.
Taifa, Taifa Stars leo imeibanjua Afrika ya Kati bao 2-1 katika mechi ya awali kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa Afrika mwakani ilofanyika uwanja wa Taifa.
Mechi hiyo ya vuta nikuvute ambayo Stars iliahitaji ushindi ili kujiweka sawa katika mbio hizo za kuwania fainali hizo zitakazofanyika Gabon na Equatorial Guinea, ilishuhudia wenyeji wakipigwa bao mo9ja katika kipindi cha kwanza.
Stars ilisawazisha dakika ya 49 Shaaban Nditi wakati bao la ushindi liliwekwa kimiani na Mbwana Samatta dakika ya 89.
Stars ilicheza mechi ya kwanza na Algeria na kutoka sare ya bao 1-1 kabla ya kufungwa bao 1-0 na Morocco nyumbani.
Ushindi wa mechi ya leo umerejesha imani ya Tanzania kusonga mbele.
Mechi hiyo ya vuta nikuvute ambayo Stars iliahitaji ushindi ili kujiweka sawa katika mbio hizo za kuwania fainali hizo zitakazofanyika Gabon na Equatorial Guinea, ilishuhudia wenyeji wakipigwa bao mo9ja katika kipindi cha kwanza.
Stars ilisawazisha dakika ya 49 Shaaban Nditi wakati bao la ushindi liliwekwa kimiani na Mbwana Samatta dakika ya 89.
Stars ilicheza mechi ya kwanza na Algeria na kutoka sare ya bao 1-1 kabla ya kufungwa bao 1-0 na Morocco nyumbani.
Ushindi wa mechi ya leo umerejesha imani ya Tanzania kusonga mbele.
Haya ndiyo mambo tunayoyataka ushindi kwa kwenda mbele.
ReplyDeleteHongera STARS
Hongereni Taifa Stars!! TFF anzeni kuiandaa timu sasa kwa ajili ya mechi ya marejeo.Leo Tumefurahi sana.Ila kitendo cha TFF an TBC cha kutokukubaliana na kuonesha mechi live..kimetusikitisha sana Watanzania hasa sisi wa vijijini!!
ReplyDeleteTFF ni jukumu lenu kuhakikisha wachezaji wetu wanaocheza soka la kulipwa wanafika nchini on TIME.
ReplyDelete