Home
Unlabelled
taswira ya mwezi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
ustaarabu umeingia bongo, kama wp anakamata mibaba bila cha moto.
ReplyDeleteWanakwenda Bure Jela na watatoka kwa pesa, poleni sana kwani ufisadi umezidi hapo kwenye hicho kituo hakuna haki, pesa kwa kwenda mbele. Kupigana mbele ya umma ni kwa sababu zuluma zimezidi, sasa kama walikuwa na shida ya kuzulumiana kipesa sasa watakoma kwani watkwenda kulipa zaidi, na kwa taaarifa zao hakuna haki.
ReplyDeleteHivi askari wa Bongo hwna pingu hata kirungu?
ReplyDeleteduh wachaga bwana... bado wana enzi za kupigana hadharani...
ReplyDeletelkn askari jasiri sana mana hana pingu wala nini na jamaa wanatii amri....
tangu lini askari wa bararabarani wakawa na bunduki? hawa jamaa sio wezi unadhani mwizi akubali kwenda kituoni hivi hivi????? huyo askari inaonyesha anatumia ubabe fulani na inawezekana wana kosa la barabari na sio lingine
ReplyDeleteMoshi, mji pekee uliostarabika Tanzania. Hata wamachinga wenu wako soap soap
ReplyDeletekupigana kunasaidia kuleta heshima
ReplyDeletejamani hii picha imekatwa nini??
ReplyDeletembona hapo nyuma kuna mtu aliyevaa shati/draft mwenya SMG? angalia vizuri!!
Kat
Moshi pasafi aisee, angalia barabarani hapo! Big up jiji
ReplyDeletepilato ndio nani ?
ReplyDelete